ELIMU NI RASILIMALI MUHIMU KATIKA MAISHA

 ELIMU INAUMUHIMU MKUBWA KATIKA MAISHA YETU KIJAMII NA KIUCHUMI

Elimu ni taaluma inayomfanya mwanadamu kutoka katika ujinga na kuwa katika nuru au muamko juu ya kitu  fulani, kitaaluma, kijamii na kiutamaduni. kunausemi usemao " Elimu ni nuru" inamaana kuwa elimu ni rasilimali muhimu sana katika maisha ya mwanadamu bila ya kujali kabila, rangi, dini na hata jinsia.

Katika  maandiko ya dini ya kiislamu  ina sema kuwa ni elimu ni lazima (Faradhi) kwa kila muislamu mwanamke na mwanamke. Hivyo inaonesha uzito na umuhimu wa elimu katika maisha ya kila siku, bila ya kujali aina gani ya elimu

Comments

Popular posts from this blog

MADHARA YA RUSHWA KATIKA JAMII

FAIDA ZA TIKITIMAJI KATIKA MWILI WA BINAADAMU