Posts

Showing posts from October, 2020

MADHARA YA RUSHWA KATIKA JAMII

Image
  RUSHWA NI ADUI WA HAKI. JE UNAYAJUA MADHARA YA RUSHWA KATIKA JAMII NA SERIKALI KWA UJUMLA. Rushuwa ni fedha au kitu chochote cha thamani anachopewa mtu mwenye madaraka ya jambo fulani ili mtoaji apatiwe upendeleo. Rushwa kiserikali ni usaliti kwa umma, kwasababu rasilimali za umma zinaweza kutumiwa vibaya kwa lengo la kumnufaisha mtoaji rushwa na mpokeaji.                         MADHARA YA RUSHWA Huzuia ukuaji wa uchumi. Huhatarisha utawala bora na haki za binaadamu, mfano kununua kuara wakati wa uchaguzi na kutishia mchakato wa kidemocrasia. Hupelekea kutoa nafasi za upendeleo chini ya huduma mfano huduma za afya,elimu, upatikanaji wa maji ya kunywa na makaazi. Serikali ni mdau mkuu katika kupambana na vitendo vya rushwa na kuhakikisha taasisi zote za binafsi  na serikali zianatokomeza adui rushwa. Mnamo septemba 2016serikali ilianzisha mahakama kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu uchumi ili kushuhulikia kesi kubwa...

FAIDA ZA TIKITIMAJI KATIKA MWILI WA BINAADAMU

Image
JE KUNA FAIDA GANI ZINAZO PATIKANA KUPITIA TIKITIMAJI KATIKA MWILI WA BINAADAMU? Afya ni hali ya kujisikia vizuri kimwili, kiakili na koroho bila ya kusumbuliwa na maradhi yoyote. Duniani kuna aina nyingi za matunda, ila leo tutakwenda kuangalia umuhimu wa tunda la tikitimaji. Tikitimaji ni moja kati ya matunda muhimu sana katika mwili wa binaadamu, kwani asilimia yake 92 limeundwa na maji pamoja na madini mbalimbali ambavyo vimebeba haiba na sifa ya pekee ya tikitimaji kama ifuatavyo: vitami A, B6,C, nyuzinyuzi, phosphoras,madini ya chuma, protini n.k Tikitimaji hutibu na kulainisha choo, hungarisha ngozi, huongeza kiwango cha maji mwilini, husafisha figo, huponyesha vidonda, hupunguza uzito, hupelekea mtiririko mzuri wa damu, huondosha sumu mwilini na hukinga uharibifu wa seli. Pamoja na faida hizo, tikitimaji husaidia nguvu za kiume haswa ukila na mbegu zake, kuna L-arginine ambayo husaidia kuongeza nguvu za kiume. pia kwa wanawake wanao jipenda na kuthamini urembo tikitimaji husaid...